HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, March 31, 2017

MABALOZI WA VIJANA WA EAC ATOA SOMO KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU JIJINI ARUSHA

Naibu Balozi wa vijana wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Suzane William Mollel (kulia), akizungumza katika Warsha ya siku moja kwa Wanafunzi wa vyuo vikuu, ikiwa ni katika kuwahamasifa wanafunzi hao kuufahamu umuhimu wa Ushirikiano wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, iliyofanyika katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Tumaini, Makumira jijini Arusha, Machi 30, 2017. Jumla ya Wanafunzi 190 kutoka vyuo mbalimbali nchini, walihudhulia Warsha hiyo.
Naibu Balozi wa vijana wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Suzane William Mollel, akisikiliza maoni ya mmoja wa wanafunzi waliohudhulia kwenye warsha hiyo, juu ya ufahamu wake wa Ushirikiano wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, iliyofanyika katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Tumaini, Makumira jijini Arusha, Machi 30, 2017. 
 Balozi wa vijana wa Jumuiya ya Afrika Mashariki,Yohana Mahenga (kulia) akimkabidhi Bendera ya Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa Muwakilishi wa Mkuu wa Kitivo cha Sheria ya Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira, Bi. Tusekile. Kushoto aneyeshuhudia ni Mkuu wa Jukwaa la Vijana wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na Mgeni rasmi katika Warsha hiyo, Barbara Kaboha.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad