HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, March 18, 2017

MAKAMU WA RAIS MHE SAMIA SULUHU HASSAN AMEKUTANA NA WAZIRI MKUU MSUMBIJI MBABANE- SWAZILAND

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Waziri Mkuu wa Msumbiji  Mhe. Carlos Agostinho do Rosario walipokutana na kufanya mazungumzo ya kikazi mjini Mbabane Swaziland March 17,2017
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Waziri Mkuu wa Msumbiji  Mhe. Carlos Agostinho do Rosario walipokutana na kufanya mazungumzo ya kikazi mjini Mbabane Swaziland March 17,2017
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiagana na Waziri Mkuu wa Msumbiji  Mhe. Carlos Agostinho do Rosario walipokutana na kufanya mazungumzo ya kikazi mjini Mbabane Swaziland March 17,2017

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad