HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, March 8, 2017

DC GONDWE APOKEA MSAADA WA MBEGU KUTOKA WORLD VISION

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mh. Godwin Gondwe (wa kwanza kushoto) pamoja na  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Bw. William Makufwe wakipokea mbegu za mahindi ya njano kutoka kwa Msimamizi wa mradi Bw. Kelvin Metta wa World Vision.
  Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mh. Godwin Gondweakiwa ameshikilia mbegu za miche ya Viazi, kushoto ni Mkurugenzi  Mtendaji, kulia Kaimu Afisa kilimo Bi. Rosemary Bughe,Wakuu wa Shule  na Maafisa ugani  wakipata maelekezo mafupi kuhusu mbegu.
Kaimu Afisa kilimo wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Bi. Rosemary Bughe  akiwa ameshikilia kifurushi kimojawapo cha mbegu za miche ya mihogo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad