Mkurugenzi wa Masoko wa Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), Vivian Shaluwa akizungumza na wadau waliofika katika hafla ya ugawaji vyeti kwa wanafunzi wa kidato cha nne waliofanya vizuri katika mtihani wa kidato cha nne somo la Sanaa.
Baadhi ya washiriki waliofika kushuhudia ugawji huo wa vyeti
Rais wa Shirikisho la Sanaa za Maonyesho, William Chitanda akizungumza juu ya umuhimu wa wanafunzi kufanya sanaa pindi wanapokuwa mashuleni
Baadhi wanafunzi wa Sekondari wakiwa wana fatilia hafla hiyo
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Makongo wakitoa burudani katika sherehe za kukabidhi vyeti kwa wanafunzi wa kidato cha nne waliofanya vizuri katika mtihani ya kidato cha nne
Afisa wa Basata Bonnah Masenge akizungumza na wadau wa Sanaa walifika katika hafla hiyo
Mwanamuziki mkongwe John Kitime akitoa somo kwa wanafunzi ju ya ushikaji wa kipaza sauti hili waweze kusikika vizuri
Mwanafunzi Royola Sekondari , Shadrack Mboya akikabidhiwa Cheti na psesa Taslim shilingi laki tano baada ya kufanya vizuri katika mtihani wa kidato cha nne
Mwanafunzi wa Royola Sekondari , William Mukasa akikabidhiwa zwadi ya cheti na fedha tslim shilingi laki mbili na amsini
Mwanafunzi wa Royola Sekondari Josia Sooi akikisitiziwa jambo mara abaada ya kupewa zawadi yake na William Chitanda
Wanafunzi Royola Sekondari walifanya vizuri wakiwa katika picha ya pamoja
Mwanafunzi wa Azania Sekondari , Benjamini Kulwa akipokea cheti na fedha kutoka kwa mgeni rasmi William Chatanda
No comments:
Post a Comment