HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, February 10, 2017

YANGA KUONDOKA KESHO, BOSSOU, NGOMA WAACHWA


Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii

Kikosi cha Yanga SC kinatarajiwa kuondoka Alfajiri ya kesho asubui kuelekea nchini Comoro kwenye mji wa Moroni  tayari kwa mchezo wake wa kwanza ya Ligi ya mabingwa dhidi ya Ngaya.

Msafara utakuwa na wachezaji ishirini(20) benchi la ufundi nane( 8 )pamoja na viongozi wawili(2). Baada ya kikosi kuwasili kinatarajiwa kufanya mazoezi yake kesho jioni kwenye uwanja utakaochezewa mchezo siku ya jumapili.

Wachezaji wanaoondoka kesho ni.

Deogratius Munish,
Ally Mustafa
Deud Kaseke
Haruna Niyonzima
Thaban Kamusoko
Amissi Tambwe
Mwinyi Haji
Saimon Msuva
Geoffrey Mwashuiya
Saidi Makapu
Hassan Ramadhani
Juma Mahadhi
Yusuph Mhilu
Obrey chirwa
Nadir Haroub
Justine Zulu
Kelvin Yondani
Juma Abdul
Oscar Joshua
 Emmanuel Martin.

Benchi la ufundi wanaoondoka ni:

Kocha Mkuu George Lwandamina
Kocha msaidizi Noel Mwandila
Kocha msaidizi Juma Mwambusi
Daktari wa timu Edward Samwel Bavu
Kocha wa Makipa Juma Pondamali
Meneja wa timu Hafidhi Saleh  
Mtaalamu wa viungo Jacob Sospeter Onyango.
Mohamed Omary Mwaliga

Viongozi wanaosafiri.

Mussa Mohamed  Kisoki (Tff)
Paul Malume (Yanga Sc)a

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad