HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, February 28, 2017

SEREKALI YARIDHISHWA NA KASI YA UWEKEZAJI WA VIWANDA NCHINI

Waziri Mkuu ,Kassim Majaliwa akisoma Hotuba leo 28 February 2017 ya ufunguzi wa Mkutano kuhusu nafasi ya Mashirika ya Umma katika utekelezaji wa Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano Mkutano huo Umefanya katika Ukumbi wa Kikwete Ikulu Dar es salaam. Picha na Pmo
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akionyeshwa Picha na Rais wa Kampuni ya China National Materials Company Ltd (SINOMA), Peng Jianxin ambaye Kampuni yake inatarajia kujenga kiwanda cha Cement Mkoani Tanga mwisho kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga Bwana Maritin Shigela , Shughuli hiyo imefanyika leo 28 February 2017 katika Ofisi ndogo ya Waziri Mkuu Ostabay Dar es salaam. Picha na Pmo

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad