HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, February 10, 2017

MABALOZI WA JAMHURI YA MUUNGANO WAKUTANA NA RAIS SHEIN.

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mabalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania walioteuliwa hivi karibuni kuiwakilisha Tanzania katika Nchi mbali mbali (pichani) Rais akipeana mkono na Mhe,Balozi Emmanuel  John Nchimbi atakayekwenda nchini Brazil
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na   Mabalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania walioteuliwa hivi karibuni kuiwakilisha Tanzania katika Nchi mbali mbali Duniani (Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad