HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, February 15, 2017

DIWANI WA KATA YA KIJICHI TAUSI MILANZI AAPISHWA LEO.

Diwani mpya wa kata ya kijichi Tausi Milanzi akiapishwa katika kikao cha madiwani kilichofanyika leo.


Halmashauri ya Manispaa ya Temeke imefanya kikao cha baraza la madiani ambapo katika kikao hicho mada na ajenda mbalimbali za kimaendeleo zinazohusu wananchi zilijadiliwa.

Sambamba na hilo diwani mpya wa kata ya kijichi Tausi Milanzi alipata kuapishwa katika kikao hicho na kumfanya diwani kutambulika rasmi katika baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Temeke.
Madiwani wakiwa katika kikao wakijadili ajenda mbalimbali za kimaendeleo za Manispaa ya wilaya ya Temeke

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad