HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, January 18, 2017

Jihan Dimack aendelea kung'ara Miss Universe

Miss Universe Tanzania ambaye anashiriki katika mashindano ya kimataifa ya Miss Universe yanayoendelea kufanyika huko jijini Manila, Philippines, Jihan Dimack akipita jukwaani kuonyesha vazi lake la ufukweni katika mashindano ya kimataifa ya Miss Universe yaliyofanyika katika Ukumbi wa Jpark Island Resort and Waterpark, Cebu, jijini Manila - Philippines. Warembo wote wanaoshiriki mashindayo hayo, wanaendelea na ziara katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo, ikiwa ni pamoja na maandalizi mbalimbali kuelekea kilele cha shindano hilo, kinachotarajiwa kufanyika Januari 29, 2017 huko Manila, Philippines.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad