HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, December 5, 2016

TANZANIA YAJIPANGA KUSHIRIKIANA NA MAURITIUS KATIKA SEKTA YA MIUNDOMBINU

Waziri wa Sanaa na Utamaduni wa Mauritius Bw. Santaram BABOO, akifafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano wa Tanzania, Prof. Makame Mbarawa alipomtembelea ofisini kwake jijiin Dar es Salaam.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano wa Tanzania, Prof. Makame Mbarawa, akifafanua jambo kwa Waziri wa Sanaa na Utamaduni wa Mauritius Bw. Santaram BABOO, walipokutana kwa majadiliano  kuhusu ushirikiano baina ya Wizara zao, jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano wa Tanzania, Prof. Makame Mbarawa (wa nne kushoto), akiwa katika picha ya pamoja na Ujumbe kutoka nchini Mauritius, wa pili kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Sanaa na Utamaduni wa Mauritius, Dkt. Nalimi LUCKHEENARAIN, na wa tatu kushoto ni  Waziri wa Sanaa na Utamaduni wa Mauritius Bw. Santaram BABOO.

Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad