HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, November 9, 2016

TEA YAHAMASISHA UAZISHWAJI WA MIFUKO YA ELIMU

 Meneja Tathmini na  Ufuatiliaji Miradi wa Mamlaka ya Elimu Tanzania, Wendo Chiduo (kushoto) akihamasisha uanzishwaji wa Mifuko ya Elimu kwa uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza Mkoa wa Kigoma.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania Joel Laurent na mwanafunzi wa Shule ya Msingi Nengo iliyopo Kibondo yenye wanafunzi wenye mahitaji maaluum. Elimu maalum ni moja kati ya miradi inayaotekelezwa na Mamlaka ya Elimu Tanzania.
Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Mamlaka ya Elimu Tanzania, Bi Sylvia Lupembe (kushoto) akihamasisha uanzishwaji wa Mifuko ya Elimu kwa Uongozi wa Halmashauri ya wilaya ya Singida. 
Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Mamlaka ya Elimu Tanzania Bi. Sylvia Lupembe akikagua mradi wa ujenzi wa Nyumba ya walimu katika shule ya Sekondari Isanzu iliyopo Wilaya ya Mkalama,Singida. Mradi huu unafadhiliwa na Mamlaka ya Elimu Tanzania na ukitekelezwa na Watumishi Housing Company.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad