HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, November 14, 2016

STARS YALALA 3 - 0 MBELE YA WENYEJI ZIMBABWE

Mshambuliaji wsa Taifa Stars, Elius Maguri akichuana na beki wa Zimbabwe, Hadebe Teenage katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika Uwanja wa Taifa wa Zimbabwe leo. Tanzania ilifungwa mabao 3-0.
Beki Michael Aidan wa Tanzania akijiandaa kumtoka mchezaji wa Zimbabwe, Danny Phiri katika mchezo huo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad