HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, November 21, 2016

SHIWATA CUP YAFIKIA ROBO FAINALI WANAUME NA NUSU WANAWAKE

Hatua ya robo fainali kwa upande wa wanaume na nusu fainali kwa wanawake kwa mpira wa kikapu SHIWATA CUP linatarajia kuendelea tena Novemba 26 mwaka huu kwenye uwanja wa ndani wa Taifa kwa timu zote .
Mechi hizo zitakazoanza asubuhi saa mbili zitakuwa ni kati ya;

VIJANA/Q VS UKONGA/Q.
 UKONGA/Q VS OILERS/P.
OILERS  VS CHUI. 
TM/ROCKETS VS KURASINI /H. 
 IFM VS KIGAMBONI /W.
JOGOO  VS CHANGOMBE/T


Mbali na hilo matokeo ya  ya michezo ya jana ya Shiwata Cup yaliyofikisha timu hizo kuingia kwenye hatua hiyo ni 

TM ROCKETS  76-61UKONGA/W
VUJANA/Q 88-45 OILERS /P. 
OIKERS 115/42 MONTFORT. 
CBE 31/78 IFM. 
SEGEREA 70/76 KIGAMBONI /W. 
KIJICHI/W 0/20 JOGOO.
KURASINI/H 20/0 LORD/BP

imetolewa na
Manasseh  Zablon 
MWENYEKITI WA MASHINDANO.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad