
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akifuatana na Balozi wa China Nchini Tanzania Mhe,Lu Youqing (kushoto) na Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Idd wakati akitembelea sehemu mbali mbali za Jengo la Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba baada ya kuizindua rasmi leo.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
na Balozi wa China Nchini Tanzania Mhe. Lu Youqing wakikata utepe
kuizindua Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba
leo,iliyojengwa na Kampuni ya Kichina Jiang SU Ltd.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiangalia mashine za kuchunguzia maradhi mbalimbali wakati alipotembelea Chumba cha Maabara katika Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba baada ya kuizindua rasmi leo akiwa na Balozi wa China Nchini Tanzania Mhe,Lu Youqing (katikati) na Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipaa maelezo kutoka kwa Dk.Mariuma Abdalla Salum (kushoto)alipotembelea katika wodi ya wazazi baada ua kuizindua leo,ambayo imejengwa na Kampuni ya Kichina Jiang SU Ltd,(katikati) balozi wa China Nchini Tanzania Lu Younqing.
Wananchi waliohudhuria katika uzinduzi wa Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba iliyozinduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein leo,ambayo imejengwa na Kampuni ya Kichina Jiang SU Ltd. Picha na Ikulu, Zanzibar.
No comments:
Post a Comment