Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Akson (kulia), wa timu ya Bunge akidaka mpira ulioelekezwa golini kwake walipocheza na timu ya Wilaya ya Chato katika mchezo wa kirafiki wa netiboli uliofanyika hivi karibuni kwenye Uwanja wa Jamhuri Dodoma. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Thursday, November 10, 2016
NAIBU SPIKA TULIA AKSON AWA KINARA UCHEZAJI NETIBOLI DODOMA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment