Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Anthony Peter Mavunde akiwa pamoja na wanafunzi wa Shule ya Msingi Ubungo
Plaza jijini Dar es Salaam, wakati wa hafla ya kukabidhi madawati 20 yaliyotolewa na Mtandao wa Wapenda soka wa Kandanda kwa shule hiyo. Hafla hiyo imefanyika Novemba 26, 2016 jijini Dar es salaam.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Anthony Peter Mavunde akifurahi jambo na wanfunzi hao mara baada ya kukabidhi madawati.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Anthony Peter Mavunde akizungumza kabla ya kukabidhi madawati
20 yaliyotolewa na Vijana wa Mtandao wa Kandanda.
Mwalimu
mkuu wa shule ya Msingi Ubungo Plaza,Renatus Pathi akizungumza wakati
wa hafla ya kupokea madawati iliyofanyika shuleni hapo
Mratibu
kutoka Kundi la Kandanda Day katika Mtandao wa Facebook , Daudi Mboma
akizungumza wakati wa shughuli kukabidhi madawati wa shule Msingi Ubungo
Plaza jijini Dar es Salaam.
Afisa
Elimu wa Wilaya ya Ubungo akizungumza kabla yakumkaribisha mgeni rasmi
katika hafla ya kukabidhi madawati yaliyotolewa na Kandanda
Baadhi ya wajumbe kutoka Kundi la mtandao wa Facebook la Kandanda wakiwa katika picha ya pamoja na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu; Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Anthony Peter Mavunde
No comments:
Post a Comment