HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, November 2, 2016

BENKI YA AFRIKA MASHARIKI YAIKOPESHA NHC BILIONI 65, KUENDELEZA UJENZI WA MRADI WA 711 KAWE

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC Bw. Nehemia Mchechu akimshukuru Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (East Africa Development Bank) Bi Vivienne Yeda mara baada ya kusaini mkataba wa mkopo wa Dola za Kimarekani Milioni 30 sawa na shilingi Bilioni 65 kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa majengo ya 711 Kawe jijini Dar es salaam, Hafla ya kutiliana saini mkataba huo imefanyika katika makao makuu ya shirika hilo Upanga jijini Dar es salaam kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Sheria NHC Bw.Martin Mdoe.(PICHA NA JOHN BUKUKU WA FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM)
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC Bw. Nehemia Mchechu akibadilishana nyaraka na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (East Africa Development Bank) Bi. Vivienne Yeda mara baada ya kusaini mkataba wa mkopo wa Dola za Kimarekani Milioni 30 sawa na shilingi Bilioni 65 kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa majengo ya 711 Kawe jijini Dar es salaam kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Sheria NHC Bw.Martin Mdoe.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC Bw. Nehemia Mchechu na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (East Africa Development Bank) Bi Vivienne Yeda wakisaini mkataba wa mkopo wa Dola za Kimarekani Milioni 30 sawa na shilingi Bilioni 65 kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa majengo ya 711 Kawe jijini Dar es salaam kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Sheria NHC Bw.Martin Mdoe.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC Bw. Nehemia Mchechu akizungumza wakati wa hafla ya kusaini mkataba na Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (East Africa Development Bank) wenye mkopo wa thamani ya Dola za Kimarekani Milioni 30 sawa na shilingi bilioni 65 kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa majengo ya 711 Kawe jijini Dar es salaam, Katikati ni Michael Mwalukasa Mkurugenzi wa Nyumba Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Sheria NHC Bw.Martin Mdoe.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC Bw. Nehemia Mchechu akizungumza wakati wa hafla ya kusaini mkataba na Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (East Africa Development Bank) wenye mkopo wa thamani ya Dola za Kimarekani Milioni 30 sawa na shilingi Bilioni 65 kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa majengo ya mradi wa 711 Kawe jijini Dar es salaam, kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki East Africa Development Bank Bi. Vivienne Yeda na kushoto ni Michael Mwalukasa Mkurugenzi wa Nyumba Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC Bw. Nehemia Mchechu akibadiliana jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki East Africa Development Bank Bi. Vivienne Yeda na Bw. David Shambwe Mkurugenzi wa Hazina na Uendelezaji Biashara.
Maafisa wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC Kutoka kulia ni Tuntufye Mwambusi Meneja Masoko, Chediel Msuya, Hindu Said Afisa Hazina na Richard Ndeona Meneja wa Hazina. 
Baadhi ya Maofisa kutoka Benki ya East Africa Development Bank (EFDB) wakiwa katika hafla hiyo.
Wakurugenzi wa Vitengo Shirika la Nyumba la Taifa NHC wakiwa katika hafla hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad