HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, November 23, 2016

BALOZI WA AUSTRALIA ATEMBELEA KITUO CHA UWEKEZAJI NCHINI LEO

 Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Nchini (TIC), Clifford Tandari (kulia) akifurahi jambo na Balozi wa Australia mwenye makazi yake Jijini Nairobi, Nchini Kenya, John Feakes aliemtembelea ofisini kwake Jijini Dar es salaam leo, ambapo walizungumzia fursa mbalimbali za uwekezaji zinazopatikana nchini Tanzania.
Balozi wa Australia mwenye makazi yake Jijini Nairobi, Nchini Kenya, John Feakes (kulia) na Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Nchini (TIC), Clifford Tandari (kushoto), wakiwa katika picha ya pamoja na Meneja Uhusiano wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania, Pendo Gondwe pamoja na Afisa Mwandamizi wa Huduma kwa Wawekezaji wa TIC, George Mkono.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad