Mchekeshaji
Steve Nyerere akicheza muziki na msanii Dokii katika usiku wa Steve
Nyerere Stand Up Comedy iliyofanyika Jumamosi Oktoba 8, 2016 ukumbi wa
Little Theatre jijini Dar es Salaam ambapo viongozi mbali mbali waliweza
kuhudhuria.
Wageni
waalikwa walioweza kufika katika usiku wa Steve Nyerere Stand Up Comedy
iliyofanyika Jumamosi Oktoba 8, 2016 ukumbi wa Little Theatre jijini
Dar es Salaam ambapo viongozi mbali mbali waliweza kuhudhuria.
Vijana wakitoa burudani.
Bendi
ya ngoma za asili ijulikanayo kwa jina la 'Mango Star' ikitumbuzia
katika usiku wa Steve Nyerere Stand Up Comedy iliyofanyika Jumamosi
Oktoba 8, 2016 ukumbi wa Little Theatre jijini Dar es Salaam ambapo
viongozi mbali mbali waliweza kuhudhuria.
Wanenguaji Super Nyamwela, Mandela sura mbaya na Lilian Intanet wakionyesha umahili wao wa kucheza.
Mchekeshaji
Steve Nyerere (katikati) akionyesha umahili wame wa kuimba katika usiku
wa Steve Nyerere Stand Up Comedy iliyofanyika Jumamosi Oktoba 8, 2016
ukumbi wa Little Theatre jijini Dar es Salaam ambapo viongozi mbali
mbali waliweza kuhudhuria. Steve Nyerere amepanga kufanya onyesho la
kuchekesha mara moja kwa kila mwezi ambapo mwezi ujao anatarajia kufanya
onyesho hilo.
Wageni waalikwa wakifuatilia burudani.
Muonekano wa ukumbi.
Mchekeshaji Steve Nyerere akimtambulisha mchekeshaji mwenzake Michelle.
Mkuu
wa Wilaya ya Kinondoni, Happi akisalimiana na wageni waliofika katika
katika usiku wa Steve Nyerere Stand Up Comedy iliyofanyika Jumamosi
Oktoba 8, 2016 ukumbi wa Little Theatre jijini Dar es Salaam ambapo
viongozi mbali mbali waliweza kuhudhuria.
Wasanii nao walibadilishana mawili matatu.
Wadau wakubwa wa Kajunason Blog nao walikuwepo...
Mchekeshaji Steve Nyerere akitoa burudani katika usiku wa Steve Nyerere Stand Up Comedy iliyofanyika Jumamosi Oktoba 8, 2016 ukumbi wa Little Theatre jijini Dar es Salaam ambapo viongozi mbali mbali waliweza kuhudhuria. Steve Nyerere amepanga kufanya onyesho la kuchekesha mara moja kwa kila mwezi ambapo mwezi ujao anatarajia kufanya onyesho hilo.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Happi aalikuwa ni mmoja ya wageni waalikwa.
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda alikuwa ni miongoni mwa wageni waliofika katika usiku wa Steve Nyerere Stand Up Comedy iliyofanyika Jumamosi Oktoba 8, 2016 ukumbi wa Little Theatre jijini Dar es Salaam ambapo viongozi mbali mbali waliweza kuhudhuria.
No comments:
Post a Comment