HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, October 12, 2016

MTANDAO WA WANAWAKE, KATIBA NA UONGOZI WAMTEMBELEA MAKAMU WA RAIS, IKULU JIJINI DAR LEO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Ujumbe wa Mtandao wa Wanawake, Katiba na Uongozi uliomtembelea Makamu wa Rais na kuzungumza nae Ikulu jijini Dar es Salaam na kujadiliana nae masuala mbali mbali yanayohusu changamoto za mtoto wa kike na mwanamke.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanawake, Katiba na Uongozi Profesa Ruth Meena ambaye pamoja na ujumbe wake uliomtembelea Makamu wa Rais na kuzungumza nae Ikulu jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Ujumbe wa Mtandao wa Wanawake, Katiba na Uongozi uliomtembelea Makamu wa Rais na kuzungumza nae Ikulu jijini Dar es Salaam na kujadiliana nae masuala mbali mbali yanayohusu changamoto zinazomkabili mtoto wa kike na mwanamke.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad