Meneja
Masoko wa First National Bank, Blandina Mwachang’a akiwapigia simu
washindi wa droo ya kampeni inayoendeshwa na benki hiyo kuhamasisha
uwekaji akiba ili kujikwamua kiuchumi ambapo washindi kumi walijipatia
shilingi milioni moja kila mtu. Wengine kwenye picha ni Meneja wa Sheria
wa benki hiyo, David Sarakikya (kushoto), Mtaalamu wa Mfumo wa Habari
na Mawasiliano wa FNB, Bi. Ilakiza Hezwa na Afisa Mwandamizi wa Bodi ya
Michezo ya Kubahatisha, Humudi Abdul (kulia).Afisa Mwandamizi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Humudi Abdul (kulia) akipokea mfano wa hundi ya shilingi milioni kumi kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha wateja wa rejareja wa First National Bank (FNB), Francois Botha (kushoto) kwa niaba ya washindi kumi wa kampeni inayoendeshwa na benki hiyo kuhamasisha uwekaji akiba ili kujikwamua kiuchumi. Makabidhiano hayo yamefanyika jijini Dar es salaam leo.
Tuesday, September 6, 2016
Home
Unlabelled
WATANZANIA 30 WAFAIDIKA NA KAMPENI YA FNB KWA KUJIZOLEA MILIONI 30
WATANZANIA 30 WAFAIDIKA NA KAMPENI YA FNB KWA KUJIZOLEA MILIONI 30
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment