HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, September 6, 2016

MSAADA WA MATIBABU KWA MGONJWA DANIEL MANOTA.

Daniel Manota ni mhitimu wa mafunzo ya ualimu Ilonga Tc mwaka 2015.anasumbuliwa na maradhi ya FIGO tangu mwezi wa 10/2015, kwa sasa yuko Muhimbili hospitali, hari yake inazidi kuwa mbaya kwa kukosa pesa za kununua dawa, hivyo kama ndugu, jamaa na rafiki unaombwa kumchangia ili aweze kununua dawa zake zinazogharimu kiasi cha sh.milion 1 kwa wiki.

 Tunaomba tumuunge mkono kijana mwenzetu ambaye anapata maumivu makali. 
MUNGU HUMBARIKI ATOAYE KWA MOYO WA UKUNJUFU.
Tuma mchango kupitia namba hii, tuunganishe nguvu zetu kwa lengo la kuokoa maisha yake.
hii.
0659656970. NEEMA URASA
076818874 .DANIEL MANOTA.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad