KageBriana akiwa na kombe lake pamoja na mshindi wa pili Emory Wilson
Wakati
huohuo yalifanyika mashindano ya mix doubles ambapo KageBriana na
kakaye Mwombeki walichukuwa ushindi wa tatu kwa michuano ya vijana wa
umri wa miaka 14 (14 and under yaliyofanyika Potomac Maryland.
Mchezaji tennis Briana Kagemuro mwishoni mwa juma alishinda katika michuano ya shirikisho la Tennis Marekani (USTA) Mid Atlantic, kwa upande wa wasichana walio chini ya miaka 12 (12 and under) a yaliyofanyika katika viwanja vya Bullis Potomac -Maryland.
Mashindano hayo yalijumuisha wasichana nane ambapo Kage Briana alifanikiwa kumbwaga mpinzani wake Emory Wilson katika fainali kwa seti 6-4,6-3.
Bryan na Briana wakiwa na medali zao.
No comments:
Post a Comment