HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, August 2, 2016

Tamasha la maadili kwa vijana lafanyika jijini dar

Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka, akizungumza katika Tamasha la maadili kwa vijana lililoandaliwa na Tumaini Media kupitia Jimbo Kuu la Dar es Salaam la Kanisa Katoliki lililofanyika Katika uwanja wa Uhuru mwishoni mwa wiki.
Aliyekuwa mgeni wa heshima katika Tamasha la Maadili, Balozi Paul Rupia, akizungumza katika tamasha hilo lililoandaliwa na Tumaini Media kupitia Jimbo Kuu la Dar es Salaam la Kanisa Katoliki lililofanyika Katika uwanja wa Uhuru mwishoni mwa wiki.
Kwaya ya Mtakatifu Kizito wakitumbuizaatika Tamasha la maadili kwa vijana lililoandaliwa na Tumaini Media kupitia Jimbo Kuu la Dar es Salaam la Kanisa Katoliki lililofanyika Katika uwanja wa Uhuru mwishoni mwa wiki.
Kwaya kutoka Bukoba.
Kwaya ya Karesmatiki
Mwanakwaya toka Kenya.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad