HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, August 10, 2016

MAKATIBU WAKUU WATEMBELEA KITUO MAHIRI CHA KUTUNZA KUMBUKUMBU (INTERNET DATA CENTRE) KILICHOPO ENEO LA KIJITONYAMA JIJINI DAR

Afisa kutoka Kampuni ya Simu Tanzania TTCL Bw. Suleimani Kagobe akitoa maelezo kwa Makatibu Wakuu jinsi mfumo wa umeme unavyofanya kazi walipotembelea katika kituo mahiri cha kutunza kumbukumbu kilichopo eneo la Kijitonyama Dar es salaam.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayeshughulikia sekta ya Mawasiliano Dkt. Maria Sasabo akitoa maelezo ya kituo mahiri cha kutunza kumbukumbu (internet Data Centre) kwa Makatibu Wakuu hawapo pichani walipotembelea kituo hicho kilichopo eneo la Kijitonyama Dar es salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Dkt. Yamungu Kayandabila katikati akitoa maoni yake kuhusu kituo mahiri cha kutunza kumbukumbu “ internet Data Centre”, (wa kwanza kulia) ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya nje na Afrika Mashariki Balozi Ramadhani Mwinyi na (wa kwanza kushoto) ni Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Bibi Florence Mwanri walipokitembelea kituo hicho eneo la Kijitonyama Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad