HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, August 11, 2016

KAMPENI UHAMASISHAJI WA KULIPA KODI YA PANGO YAANZA KWA NCHI NZIMA

Rahma Moyo Mwanafunzi wa mafunzo kwa vitendo kutoka chuo cha Mt. Agustine Mwanza anayejifunza katika Kitengo cha Mawasiliano wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na maendeleo ya Makazi, akibandika stika kwenye gari la mmoja wa wakazi wa Dar es Salaam, wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya uhamasishaji kulipa kodi ya pango la ardhi itakayoendelea nchi nzima. Kampeni hiyo ilizinduliwa katika uwanja wa Mbagala Zakhem jana. Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na maendeleo ya Makazi, Mboza Lwandiko akiwagawia vipeperushi wakazi wa Dar es Salaam jana, katika uwanja wa Zakhem Mbagala, wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya uhamasishaji kulipa kodi ya pango la ardhi itakayoendelea nchi nzima.
Rahma Moyo Mwanafunzi wa mafunzo kwa vitendo kutoka chuo cha Mt. Agustine Mwanza anayejifunza katika Kitengo cha Mawasiliano wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na maendeleo ya Makazi, akimpa vipeperushi mfanyabiashara wa Dar es Salaam, wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya uhamasishaji kulipa kodi ya pango la ardhi itakayoendelea nchi nzima. Kampeni hiyo ilizinduliwa katika uwanja wa Mbagala Zakhem leo.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na maendeleo ya Makazi, Mboza Lwandiko akiwagawia vipeperushi wakazi wa Dar es Salaam jana, katika uwanja wa Zakhem Mbagala, wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya uhamasishaji kulipa kodi ya pango la ardhi itakayoendelea nchi nzima. (Imeandaliwa Okanda Blogspot)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad