Mdau Akiwa amepozz kwenye kiweka taka kilichopo katika stendi hiyo ya nanenane jijini mbeya.
Biashara ya nkababu na viazi kutoka kwa mtoa huduma ikiendelea
mzigo ukipelekwa mahari husika
Pilika pilika zikiendeleaa.
Masela nao kama kawaida yao maeneo ya kujidai...
#Kamerayamtaakwamtaablog.
No comments:
Post a Comment