Sehemu ya wawakilishi wa Jumuiya hiyo wakimsikiliza kwa makini Mhe. Waziri Mahiga.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) akiwa na Viongozi Wakuu wa Jumuiya ya Mabohora nchini, Mhe. Shekh Tayabali Hamzabhai ( (kushoto) na Shekh Zainuddin Adamjee, Makamu Mwenyekiti (kulia) wakati wa hafla fupi ya kukabidhi madawati.
No comments:
Post a Comment