HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 12, 2016

KUIONA YANGA vs MEDEAMA BUKU 5.

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.
SASA kuiona Yanga vs Medeama kiingilio ni shilingi elfu 5 Kwa viti vya kijani na bluu, Kwa viti vya machungwa ni 10,000, VIP B&C ni 20,000 na VIP A ni 30,000.

Huo unakuwa ni mchezo wa tatu kwa Yanga ikiwa katika mechi za mbili za awali wamepoteza dhidi ya Mo Bejaia na TP Mazembe uliochezwa katika uwanja wa Taifa na kwenye mchezo huo Klabu ya Yanga iliwapa fursa mashabiki wa mpira kuingia bure kushuhudia mtanange huo.

Uongozi wa Yanga umeomba wanachama wake kujitokeza kwa wingi kuja kushuhudia mchezo huo ambapo kwa sasa kikosi kipo tayari kwa ajili ya ushindi na hawatataka kupoteza tena.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad