HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, July 28, 2016

Huawei Tanzania yakutana na baandi ya Wanafunzi wa ICT kutoka Vyuo Vikuu nchini

 Meneja Mawasiliano ya Umma wa Kampuni ya Huawei Tanzania, Jin Liguo akizungumza na baadhi ya Wanafunzi kutoka Vyuo Vikuu nchini ambao walipata nafasi ya kwenda nchini China kujifunza maswala ya Teknolojia na Mawasiliano, ikiwa ni sehemu ya kusaidia vijana wa Kitanzania wenye vipaji katika mambo ICT, wakati Wanafunzi hao walipotembelea Banda la Huawei lililopo nje Ukumbi wa Mwl. J.K. Nyerere kunakofanyika Tamasha la Nne la Makampuni ya Simu Duniani (GSMA Mobile 360), jijini Dar es Salaam.
Meneja Msaidizi wa Mawasiliano wa Kampuni ya Huawei Tanzania, Amani Frank akifafanua jambo kwa baadhi ya Wanafunzi kutoka Vyuo Vikuu nchini ambao walipata nafasi ya kwenda nchini China kujifunza maswala ya Teknolojia na Mawasiliano, ikiwa ni sehemu ya kusaidia vijana wa Kitanzania wenye vipaji katika mambo ICT, wakati Wanafunzi hao walipotembelea Banda la Huawei lililopo nje Ukumbi wa Mwl. J.K. Nyerere kunakofanyika Tamasha la Nne la Makampuni ya Simu Duniani (GSMA Mobile 360), jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa wanafunzi hao kutoka Chuo Kikuu cha Tanzania, Faith Asenga akizungumza jambo wakati aktoa shukrani wa uongozi wa Kampuni ya Huawei Tanzania, waliofanikisha safari yao hiyo ya kimafunzo nchini China.
Wanafunzi hao wakiwa ndani ya moja ya Mabanda ya Teknolojia ya Kampuni ya Huawei Tanzania.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad