HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, June 30, 2016

WAKAZI WA ZANZIBAR WANUFAIKA NA KAPU LA VODACOM FOUNDATION

 Mkazi wa shehia mahameni mjini Zanziba, Bi.Mwajuma Juma(katikati) akipokea kapu lenye vyakula mbalimbali kutoka kwa Meneja mauzo wa kanda hiyo wa Vodacom Tanzania, Mohamed Mansour(kulia)ikiwa ni msaada kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani uliotolewa na taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation ,kushoto ni mwakilishi wa Doris Mollel Foundation, Warda Walid.
 Meneja mauzo wa Vodacom Tanzania kanda ya Zanzibar, Mohamed Mansour(kushoto)na mwakilishi wa Doris Mollel Foundation, Warda Walid(kulia)wakimkabidhi kapu lenye vyakula mbalimbali Bi.Mwamvua Makame mkazi wa mji huo, ikiwa ni msaada uliotolewa na taasisi ya Vodacom Tanzania kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Mkazi wa Masingini Zanzibar,Mzee Mtumwa Haji Mustafa (kulia) akipokea kapu lenye vyakula mbalimbali kutoka kwa mwakilishi wa Doris Mollel Foundation, Warda Walid(kushoto)na Meneja mauzo wa kanda hiyo wa Vodacom Tanzania, Mohamed Mansour(katikati)ikiwa ni msaada kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani uliotolewa na taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad