HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, June 23, 2016

MTOTO LUQMAN ALLY AMEPOTEA NA ANATAFUTWA NA WAZAZI WAKE.



MTOTO LUQMAN ALLY AMEPOTEA NA ANATAFUTWA NA WAZAZI WAKE.
Luqman Ally (14)(Pichani) anatafutwa na wazazi wake, amepotea tar 13 Juni mwaka huu, anasoma shule ya Msingi Mbagala Islamic Darasa la Sita iliyopo Mbagala jijini Dar es Salaam.

Mara ya kwanza alitoroka wiki mbili zilizopita na akapatikana katika kituo cha kulelea watoto wanaoishi katika mazingira Magumu cha Chad kilichopo Mazese.

Taarifa imetolewa katika kituo cha Polisi cha Majimajitu Mbagala jijini Dar es Salaam kwa RB .NO MAT/RB/618/16. 

Yeyote ambaye atamwona mtoto huyo apige 
NAMBAYA YA SIMU. 0655891200. MAMA YAKE MZAZI WA LUQMAN.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad