HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, June 21, 2016

DK.SHEIN AKUTANA NA BALOZI WA AFRIKA KUSINI NCHINI TANZANIA.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein akifuatana na Balozi wa Afrika ya  Kusini katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ,Thamsanga Dennis Msekelu baada ya mazunguzo yao leo alipofika Ikulu Mjini Zanzibar.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi wa Afrika ya  Kusini katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Thamsanga Dennis Msekelu leo alipofika Ikulu Mjini Zanzibar.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein akizungumza na Balozi wa Afrika ya  Kusini katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Thamsanga Dennis Msekelu leo alipofika Ikulu Mjini Zanzibar.
[Picha na Ikulu.] 21/06/2016.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad