Usafiri wa DART umekuwa mkombozi kwa wasafiri wengi wa jiji la Dar es salaam wakati wanapotoka majumbani mwao na kuelekea kazini na kurejea majumbani mwao. Katikati ni Bw. David Mwaibula aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Mamlaka ya Usafiri wa Daladala Dar es salaam (DRTLA) aliyeambatana na Waziri Mkuu kukagua mradi huo leo.
Usafiri wa DART umekuwa mkombozi kwa wasafiri wengi wa jiji la Dar es salaam wakati wanapotoka majumbani mwao na kuelekea kazini na kurejea majumbani mwao. Katikati ni Bw. David Mwaibula aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Mamlaka ya Usafiri wa Daladala Dar es salaam (DRTLA) aliyeambatana na Waziri Mkuu kukagua mradi huo leo.
No comments:
Post a Comment