HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, May 16, 2016

UMEME WAZUWA TAFRANI ENEO LA POSTA MTAA WA SAMORA KUTOKANA NA SHOTI YA UMEME....

Shoti ya Umeme iliyo jitokeza katikati ya Benki ya Azania iliyopo Mtaa wa Samora iliwaacha watu Midomo wazi mara baada ya kutokea kwa Mlipuko Mkubwa ambao Chanzo chake hakikuweza kufahamika...
Moshi Mkubwa ulionekana kutanda Njee ya Benki iyo ya Azania iliyopo Mtaa wa Samora Jijini Dar es salaam.
Waya wa Umeme ulionekana kuendelea kuwaka Moto.
@Kamerayamtaakwamtaablog.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad