HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, February 26, 2016

WAZIRI NAPE NNAUYE AONGOZA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MZISHI YA MWANAMUZIKI MKONGWE NCHINI, KASSIM SAID MAPILI

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye akiweka udogo kwenye kaburi la Mwanamuziki mkongwe hapa nchini, Mzee Kassim Said Mapili, wakati wa mazishi yaliyofanyika kwenye Makaburi ya Kisutu, jijini Dar es Salaam leo.
Mwili wa mwanamuziki mkongwe hapa nchini, Mzee Kassim Said Mapili ukiwasili kwenye makabuli ya Kisutu, jijini Dar es Salaam leo.
Mwili wa mwanamziki mkongwe hapa nchini, Kassim Said Mapili ukiwekwa katika kabuli wakati wa mazishi yaliyofanyika kwenye makabuli ya Kisutu, jijini Dar es Salaam leo.
Waombolezaji walio fika kumsindikiza kwenye nyumba ya milele, Mzee Kassim Said Mapili, wakipata mawaidha baada ya mazishi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad