HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, February 26, 2016

WANANCHI WAKUMBUSHWA KUJITOKEZA KUFANYA USAFI SIKU YA MAZINGIRA MUCHI 3, MWAKA HUU.

 Sehemu ya Wadau na Waandishi wa Habari walioshiriki kusikiliza Tamko la Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira, Mh. January Makamba lililotolewa kwa niaba na Naibu Waziri wake , Mheshimiwa Luhaga Mpina katika Ukumbi wa Ofisi ya Makamu wa Rais jijini Dar es Salaam leo.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira, Mheshimiwa Luhaga Mpina akiongea na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu Siku ya Mazingira Barani Afrika inayofanyika kila tarehe 3 ya Mwezi Machi ikiwa ni pamoja na kuwakumbusha Watanzania kushiriki katika  kutekeleza jukumu  la  kufanya usafi wa mazingira linalofanyika kila juma mosi ya mwisho wa mwezi Kitaifa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad