HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, February 25, 2016

TASWIRA MBALIMBALI KATIKA MTANANGE WA AZAM FC NA TANZANIA PRISONS.

   Mtanange wa Azam Fc na Tanzania Prison uliochezwa katika Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya Ngoma Droo ya bila Kufungana ikiwa nimuendelezo wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara....      
   Baadhi ya Mashabiki Kinazi wa Mpira wa Miguu wakiwa Uwanjani kushuhudia Mtanange huo uliochezwa katika Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya...
 Wachukuwa Taswira Wakirekodi Mtanange huo..
PICHA ZOTE NA MR.PENGO MMG MBEYA.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad