HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, February 4, 2016

MUDHIRI AJA NA KITABU CHA MWELE BIN TAABAN.

 Aliekuwa Mbunge wa Mchinga,Mudhihiri Mudhihiri Akizungumza na waandishi wa habari hawapo picha juu ya kitabu cha ‘‘Mwele Bin Taaban’’ ambacho kina ujumbe mbalimbali.leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Abdallah Makumbila aka Muhogo Mchungu. 
 .Mwana muziki Mrisho Mpoto akifafanua jambo kushoto ni Abdallah Makumbila aka Muhogo, leo jijini Dar es Salaam. 
Waandishi wa habari wakimsikiliza Aliekuwa Mbunge wa Mchinga,Mudhihiri Mudhihiri, leo jijini Dar es Salaam. 
(Picha na Emmanuel Massaka wa Globul ya Jamii).


Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
ALIYEKUWA Mbunge wa Mchinga,Mudhihil Mudhihil ametunga kitabu cha ‘‘Mwele Bin Taaban’’ ambacho kina ujumbe mbalimbali. 

Mudhihil ametunga kitabu hicho kwa kushirikisha watu mahiri ikiwa lengo ya kukuza Kiswahili kuweza kutumika sehemu ya ajira. 

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Mudhihil amesema kuwa kitabu hicho kinaweza kutumika katika mtaala wa shule za Sekondari kwa kudato cha tatu na sita na hadi vyuo vikuu. 

Amesema kuwa katika Dibaji ya kitabu hicho ameandika Waziri wa Katiba na Sheria Dk. Harrison Mwakyembe ambaye ana ujumbe wake katika kitabu hicho. 

Mudhihiri amesema kuwa watanzania hawapendi kusoma na kuwataka kusoma kutafanya wajue vitu vingi na kujua nchi yao. 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad