Kamera ya Mtaa kwa Mtaa katika heka heka zake za ukaguzi wa Mitaa ilikumbana na Mdau huyu Pichani akiwa Njee ya Ghuba la Taka akichambuwa Matunda na kuyatia kinywani kama Vyakula vingine tunavyo kula kila siku na hii inaashilia Dhairi kuwa kile ambacho wewe waona hakifai juwa kwa mwenziokina Thamani kubwa yafaa kukithani....
Mdau akimenye Tunda alilochukuwa kwenye Dampo kuajili ya kufunguwa Kinywa.
Mdau akiendelea na Umenyaji wa Tunda aina ya Parachichi alilo lichuma juu ya Dampo hilo...
#Kamerayamtaakwamtaablog.
No comments:
Post a Comment