Mchekeshaji maarufu wa Orijino Comedy Silvester Mjuni alimaarufu kama MPOKI, amejiunga na team ya EFM Radio na kuwa mmoja wa watangazaji wa kipindi cha UBAONI kinachoongozwa na Gardner G. Habash kwa kushirikiana na bikira wa kisukuma (Seth) kinacho kuwa hewani kila siku kuanzia saa 9:00 alasiri hadi saa 1:00 jioni. Kushoto Mkurugenzi wa Efm Radio Francis Ciza akimkaribisha MPOKI kuungana na team ya EFM Radio.
Friday, February 12, 2016

Home
Unlabelled
CHEKESHAJI WA ORIGINO COMEDY,MPOKI AJIUNGA NA TIMU YA EFM RADIO.
CHEKESHAJI WA ORIGINO COMEDY,MPOKI AJIUNGA NA TIMU YA EFM RADIO.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment