HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, February 23, 2016

BIBI ABIOLA DELUPE MWAKILISHI WA UBALOZI WA NIGERIA ATEMBELEA EFM.

Mwakilishi wa ubalozi wa Nigeria, bibi Abiola Delupe aitembelea Efm Radio leo  katika vitengo tofauti na  kuona utendaji kazi wa radio. Huku akikutana na baadhi ya watangaziji  kujadili mambo tofauti tofauti na jinsi watakavyo weza kuendeleza kazi zoa nje ya mipaka ya Tanzania.
  Meneja mkuu Dennis Ssebbo akijadili mambo tofauti kuhusiana na ufanisi wa kazi katika radio hiyo.
Bibi Abiola Delupe (Kushoto) akizungumza jambo na Mkurugenzi  wa Efm radio Francis Ciza. 
Baadhi ya viogozi wa Efm Radio katika mazungumzo na Bibi Abiola Delupe.
 Bibi Abiola Delupe akizungumza jambo na Mkurugenzi  wa Efm radio Francis Ciza.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad