HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, January 18, 2016

UMOJA WA WANAMLAWA WATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA MKOANI TANGA.

UMOJA wa wanamlalo, Wealfare Associastion waishio Dar es Salaam (MLAWA) wametoa msaada kwenye kituo cha watoto yatima cha Nyumba ya Furaha kilichopo mkoani Tanga wametoa shuka 20 vitene 8 na fedha taslimu shilingi laki tano (500,000).
Mwakilishi wa UMOJA wa wanamlalo, Wealfare Associastion waishio Dar es Salaam (MLAWA), Rose Mbelwa akitoa zawadi mbalimbali kwa Sista Irene Kapuka ambaye ni mwakilishi wa kituo cha nyumba ya Furaha kilichopo mkoani Tanga.

Watoto wakiwa katika picha ya pamoja na UMOJA wa wanamlalo, Wealfare Associastion waishio Dar es Salaam (MLAWA) katika makabidhiano yaliyofanyika mkoani Tanga Mwishoni mwa wiki.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad