Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewasimamisha kazi Kamishna Mkuu wa Uhamiaji Bwana Sylvester Ambokile na Kamishna wa Uhamiaji anayeshughulikia Utawala na fedha Bwana Piniel Mgonja ili kupisha uchunguzi, kufuatia dosari alizozibaini Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mheshimiwa Charles Kitwanga alipotembelea Idara ya Uhamiaji hivi karibuni.
Wednesday, January 20, 2016

Home
Unlabelled
RAIS DKT. MAGUFULI AMSIMAMISHA KAZI KAMISHNA MKUU WA UHAMIAJI
RAIS DKT. MAGUFULI AMSIMAMISHA KAZI KAMISHNA MKUU WA UHAMIAJI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment