HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, January 19, 2016

MWANAMKE AKUTWA KWENYE PAA LA JENGO LA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO JIJINI DAR ES SALAAM LEO.

 Manamke ambaye jinalake halikupatikana mara moja akiwa amekaa juu ya paa la majengo ya Wizara ya Fedha na Mipango jijini Dar es Salaam leo.
Mwanamke huyo akizungumza na watu waliokusanyika ikiwa alikuwa hasikiki vizuri maneno aliyokua akiongea kutokana na wananchi waliokusanyika kumuuliza maswali mengi kwa wakati mmoja. 
Polisi akiwa pembeni ya uzio wa majengo ya wizara ya fedha na mipango mara baada ya mwanamke huyo alipokuwa juu ya paa la nyumba hizo, ikiwa haikujulikana mwanamke huyo hatukujua anadhamira gani ya kupanda juu ya paa la majengo hayo. Baada ya muda wafanyakazi wa wizara hiyo kumwekea ngazi na kumshusha ili kumhoji zaidi nini kimemfanya apande juu ya paa la majengo hayo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad