HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, January 27, 2016

MICHEZO KWA WATOTO NI FURAHA.

 Mtoto katika ubora wake.
Watoto wakifurahia  mchezo wa kusukuma Gurudumu la Pikipiki juu ya kivuko cha mtalo wa kupitisha maji kama walivyokutwa na kamera yetu mkoani katika kijiji cha Namayuni mkoani Lindi mwishoni mwa wiki.
Picha na Avila Kakingo wa Globu ya Jamii.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad