Vijana wa Mtaani kwetu wakipigana Picha katika moja ya Eneo Mtaani kwetu na hii ni moja ya vitu vingi tunavyo faidi pindi tuwapo katika Mitaa yetu ya kujidai.. Kaa vizuriii... Batasamu kidogooo..... #Kamerayamtaakwamtaablog.
No comments:
Post a Comment