HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, January 14, 2016

MAJALIWA AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA HAPA NCHINI.

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Dkt. Augustine Mahiga (kulia) akizungumza na Balozi wa Rwanda nchini, Mhe. Eugene Kayihura walipokutana Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Januari 13, 2016.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Balozi wa Rwanda nchini, Mhe. Eugene Kayihura kabla ya mazungumzo yao, Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Januari 13, 2016.


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Balozi wa Rwanda nchini, Mhe. Eugene Kayihura kabla ya mazungumzo yao, Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Januari 13, 2016.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad