HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, January 14, 2016

FUNDI KAZINI...

 Katika pita pita za Mtaa kwa Mtaa, leo niliibukia maeneo ya Sinza na kukutana na Fundi huyu machachari kabisa wa Magani, ambapo amekuwa kivutio kikubwa kwa namna anavyoutumia uzoefu wake katika kupiga spana, kwani alikuwa anapiga mzigo kwa makeke ya kulala juu ya injini ya gari hiyo huku akiendelea na mzigo.
 Fundi akibadili mapozi ya kupiga spana.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad