HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, January 19, 2016

BODA BODA ZAGONGANA ENEO LA BONDE LA MKWAJUNI KINONDONI

 Askari wakiwahoji waendesha pikipiki (wa pili na watatu kulia) waliogongana katika Barabara ya Morocco eneo la Bonde la Mkwajuni, Dar es Salaam. Nawote wamekimbizwa katika Hospitali ya Mwananyamala na watatu kulia mkono inadaiwa umevunjika kwa juu ya maungio ya kiganja cha mkono wa kushoto na mguu wakushoto kuwa na maumivu makali na wapili kulia maumivu ya mguu (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)

 Mmoja wa Dereva wa Pikipiki (wakwanza kulia) akikabidhi nyaraka zake kwa Askari na alikuwa akienda kupata matibabu katika Hospitali ya Kairuki na kukimbizwa wote wawili katika Hospitali ya Mwananyamala
Dereva akitoa maelezo kwa Askari waliokua katika Bonde la Mkwajuni 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad